Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Ajilipua ndani ya msikiti Saudia,,,soma hapa




Ajilipua ndani ya msikiti Saudia,,,soma hapa







Mlipuaji wa kujitolea muhanga amejilipua ndani ya msikiti wa madhehebu ya Shia katika mkoa wa mashariki wa taifa la Saudi Arabia na kusababisha madhara makubwa.
Kulingana na vyombo vya habari nchini humo.
Mtu mmoja aliyeshuhudia alikiambia chombo cha habari cha Reuters kwamba kulikuwa na mlipuko mkubwa katika msikiti wa Imam Ali katika kijiji cha al-Qadeeh.
Amekadiria kwamba kuna majeruhi 30 katika shambulizi hilo ambapo zaidi ya watu 150 walidaiwa kusali ndani ya msikiti huo.






author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Heka Heka Zangu
Back To Top