Wanaopinga ndoa za jinsia moja wasalimu
Huku kura zikiendelea kuhesabiwa
baada ya kura ya maoni nchini Ireland kuhusu uhalalishaji wa ndoa za
jinsia moja,kiongozi mmoja anayeongoza kampeni za kupinga ndoa hizo
amekubali kushindwa.
David Quinn,kiongozi wa taasii ya iona inayokuza dini katika jamii ,aliwapongeza wanaotaka sheria kubadilishwa.Matokeo rasmi yanatarajiwa kutolewa baadaye jioni.
Iwapo mabadiliko hayo yataidhinishwa ,Ireland itakuwa nchi ya kwanza kuruhusu ndoa za jinsia moja kupitia wingi wa kura.
Post a Comment