Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

IRELAND: WANAOUNGA NDOA ZA JINSIA MOJA WASHANGILIA,KURA ZAO NI NYINGI SANA,,,,

Wanaopinga ndoa za jinsia moja wasalimu

Huku kura zikiendelea kuhesabiwa baada ya kura ya maoni nchini Ireland kuhusu uhalalishaji wa ndoa za jinsia moja,kiongozi mmoja anayeongoza kampeni za kupinga ndoa hizo amekubali kushindwa.
David Quinn,kiongozi wa taasii ya iona inayokuza dini katika jamii ,aliwapongeza wanaotaka sheria kubadilishwa.
Matokeo rasmi yanatarajiwa kutolewa baadaye jioni.
Iwapo mabadiliko hayo yataidhinishwa ,Ireland itakuwa nchi ya kwanza kuruhusu ndoa za jinsia moja kupitia wingi wa kura.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Heka Heka Zangu
Back To Top