UKAWA WATIKISA IKULU,KIKWETE ANENA NAO,,,,,,,,
>Mjadala wa bajeti mwaka 2015/16 umegeuka mwiba mchungu kwa
Ofisi ya Rais baada ya mawaziri watatu waliopo katika ofisi hiyo
kubanwa na wabunge wa upinzani hasa wale wanaounda Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa), wakisema “njaa imeanzia Ikulu na Ofisi ya Rais
inayosimamia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) haina
utashi wa kupambana na rushwa.”
Post a Comment