Watinga kuchukua maiti wakivalia nguo za magunia
Ndugu na jamaa wa marehemu Victoria Silvester (53), wakiwa ndani ya chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Rufaa ya KCMC, huku wakiwa wamevaa magunia walipokwenda kuuchukua mwili kwa ajili ya mazishi, mkoani Kilimanjaro jana. Picha na Dionis Nyato
Post a Comment