Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MASHINE HATARI YATUA YANGA, NI NANI? INGIA HAPA!!!



MASHINE HATARI YATUA YANGA

Khadija Mngwai na Hans Mloli KUMEKUCHA Jangwani! Huenda ukawa ni mwaka mwingine wa neema Yanga kutokana na kikosi hicho kusukwa vizuri kwa ajili ya mashindano. Kwa taarifa ni kwamba yule straika msumbufu kwa mabeki, Donald Ngoma, raia wa Zimbabwe, anatarajiwa kutua Yanga wakati wowote ndani ya wiki hii kwa ajili ya kumalizana na timu hiyo. Hayo yote yamekuja baada ya TFF kupitisha idadi ya wachezaji saba wa kigeni na Yanga inataka kuitumia nafasi hiyo kujiboresha kwa ajili ya michuano ya kimataifa na Ligi Kuu Bara msimu ujao. Tayari Ngoma ameshatumiwa tiketi na sasa kinachosubiriwa ni kutua kwake tu. Inaelezwa kuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, yupo tayari kumwaga fedha sasa kuhakikisha kikosi chake kinakuwa bora kimataifa. Makubaliano ya awali ni kwamba Ngoma…
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Heka Heka Zangu
Back To Top