Taarifa za tatu bora ikiwa ni hatua moja kabla ya kumpata wa kuipeperusha bendera ya CCM zimenifikia kwa kuthibitishwa na Twitter page ya CCM kulikoandikwa >>> ‘Mkutano wa NEC unapiga kura hivi sasa kupata Wagombea 3 bora, mkutano mkuu wa taifa utaanza saa tatu usiku‘
NEWS: BAADA YA SAA TATU
Waliopita ni
1. john pombe magufuli
2. asha rose migiro
3. amina salumu ally
ULIIMIS HOTUBA YA RAIS KIKWETE? BONYEZA HAPA CHINI KUIPATA…
Post a Comment