Mbowe ahukumiwa, utata wa sifa ya kugombea waibuka
> Mbunge wa Hai , Freeman Mbowe akizungumza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Hai, Kilimanjaro jana mara baada ya kulipa faini ya shilingi milioni moja na kuachiwa huru ,hukumu iliyotokana na kutiwa hatiani kwa kosa la kumshambulia mwangalizi wa uchaguzi mwaka 2010. Picha na Dionis Nyato.
Post a Comment