Inasemekana baada ya kukutana sherehe na kupata dinner katika ukumbi wa ‘Night club Graffin’ Rihanna aliondoka usiku na msukuma kabumbu huyo na kuonekana asubuhi ya siku ya Jumanne.
Hapa mwanamuziki huyo alipoandika baadhi ya tweeted her support to the player around the time of the World Cup. ‘@Benzema I feel your pain right now!’ to which he replied: ‘@rihanna No pain no gain, thanks for the support!’
Post a Comment