Majambazi
wakamatwa hii leo mchana Tazara wakikimbia baada ya kupora fedha
Milioni zaidi ya 25 katika kituo cha mafuta cha Lake Oil ambazo zilikuwa
katika moja ya magari yaliyoingia kujaza mafuta kituoni hapo. Katika
gari la Polisi ni watuhumiwa hao wa ujambazi Taarifa zaidi.
Huyu
ni muuza CD ambaye alikuwa katika gari dogo aina ya Toyota Pick Up na
mara majambazi walipoivamia yeye aliruka na kuanza kutimua mbio na
Polisi kudhani ni jambazi linakimbia hivyo kuanza kumfukuzia na
kumkamatia Uwanja wa mpira jirani na soko la Vetenari.
Mmoja wa watuhumiwa akivuja damu huku mwenzake akiwa amelala chini
Post a Comment