kwa wale wenye mijiroho mibaya wata pita bila kucomment ;I .R.P
Lakini kumbuka sisi wote ni marehemu watarajiwa,na kila mtu lazima atakufa tena kwa style yake,Huyu dogo amekatwa shindo hadi kufa na baba yake mzazi,baada ya kuwa na ugomvi na mke wake yani mama yake na huyu chalii.
mama wa mtoto baada ya kuwa na hasira aliamua kumwambia ukweli kuhusu mtoto huyu.Alimweleza kuwa mtoto huyo si wake na kwmba mimba haikuwa yake.Kwa hasira baba akaamua kumchinja hadi kufa.
Tafadhal usipite bila kuandika R.I.P
1 comments:
RIP, si angemfukuza tu kuliko kuua, hatari sana.
ReplyPost a Comment